NEC Wapitisha Mapendekezo ya Bima ya Afya kwa wote
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo Juni 23 2022 wamepitisha kwa kishindo mapendekezo ya Bima ya Afya kwa wote nchini.Wajumbe hao wamepitisha mapendekezo hayo kwenye semina iliyoandaliwa na Wizara ya Afya ya kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini iliyofanyika kwenye ukumbi wa White house jijini Dodoma. Waziri wa Afya Mhe. Ummy
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed