NEC Wapitisha Mapendekezo ya Bima ya Afya kwa wote

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo Juni 23 2022 wamepitisha kwa kishindo mapendekezo ya Bima ya Afya  kwa wote nchini.Wajumbe hao wamepitisha mapendekezo hayo kwenye semina iliyoandaliwa na Wizara ya Afya  ya kuimarisha  mfumo  wa bima ya afya nchini iliyofanyika kwenye ukumbi wa White house jijini Dodoma. Waziri wa Afya Mhe. Ummy